Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 8-8. Roho Mtakatifu Anayewasaidia Wenye Haki (Warumi 8:26-28)


Listen Later

Roho Mtakatifu yumo katika mioyo ya wale wanaoamini katika haki ya Mungu. Roho Mtakatifu anawafanya wao kuomba na anawasaidia kufanya hivyo. Pia Roho Mtakatifu huugua kwa kufanya maombi kwa niaba yao kusikoweza kutamkwa. Hii ina maanisha kuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuomba kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu. Hii ndiyo sababu wale wanaoamini katika haki ya Mungu wanaitwa wana wa Mungu. Bwana anawaahidia wao kuwa atakuwa pamoja nao wakati wote hadi mwisho wa dahari.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission