
Sign up to save your podcasts
Or


Hebu sasa tuweke umakini wetu juu ‘kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu”. Ili kuelewa kiusahihi juu ya maana ya kuchaguliwa tangu asili, basi tunapaswa kulizingatia Neno la Mungu lililoandikwa, na kisha tukajisahihisha sisi wenyewe ikiwa kuna kitu kibaya katika imani zetu. Katika hili, tunapaswa kwanza kutambua kuwa ni kwa nini Mungu alimpenda Yakobo huku akimchukia Esau. Pia tunahitaji kuchunguza ikiwa uelewa wa Ukristo wa sasa juu ya kuchaguliwa tangu asili kama haujatoka nje ya Maandiko. Sisi sote ni lazima tuwe na uelewa sahihi wa kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
By The New Life MissionHebu sasa tuweke umakini wetu juu ‘kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu”. Ili kuelewa kiusahihi juu ya maana ya kuchaguliwa tangu asili, basi tunapaswa kulizingatia Neno la Mungu lililoandikwa, na kisha tukajisahihisha sisi wenyewe ikiwa kuna kitu kibaya katika imani zetu. Katika hili, tunapaswa kwanza kutambua kuwa ni kwa nini Mungu alimpenda Yakobo huku akimchukia Esau. Pia tunahitaji kuchunguza ikiwa uelewa wa Ukristo wa sasa juu ya kuchaguliwa tangu asili kama haujatoka nje ya Maandiko. Sisi sote ni lazima tuwe na uelewa sahihi wa kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35