Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 9-3. Je, Ni Makosa Kwa Mungu Kumpenda Yakobo? (Warumi 9:30-33)


Listen Later

Katika kutuita sisi sote Bwana wetu alisema, “Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi” (Mathayo 9:13). Ni lazima tutambue kuwa karama ya wokovu hairuhusiwi kwa wale wanaoifuata haki yao wenyewe, ili kuepuka hali hii tunapaswa kuamini katika haki ya Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission