TCRA Tanzania

Taarifa ya Sekta ya Mawasiliano: Januari - Machi, 2025


Listen Later

Karibu katika wasaa wa kusikiliza ripoti hii inayowasilisha takwimu za sekta ya mawasiliano za robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/2025. Kwa ujumla, ripoti inatoa takwimu za mawasiliano ya simu, pesa mtandao kupitia simu za mkononi, intaneti, utangazaji, posta na usafirishaji wa vifurushi na vipeto. Takwimu hizi zimeandaliwa kwa kuzingatia viwango vya Shirika la Umoja wa Mawasiliano Duniani (ITU) vya kukusanya na kuandaa takwimu za huduma ya mawasiliano/TEHAMA. 

Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]

#NiRahisiSana!

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TCRA TanzaniaBy Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)