
Sign up to save your podcasts
Or


Katika maisha tufani na dhoruba zipo kama vile katika meli inavyopita baharini kuelekea mahali fulani. Lakini kama vile tufani ilivyovunja meli iliyokuwa imemchukua Paulo kama mfungwa kwenda Roma kwa Kaisari lakini yeye na wengine wote walifika sehemu waliyokuwa wanaenda, yaani Roma, ndivyo ambavyo Mungu atakufikisha mahali unapaswa kufika hata kama dhoruba na tufani zitavuma. Usiogope.
By Pastor MsafiriKatika maisha tufani na dhoruba zipo kama vile katika meli inavyopita baharini kuelekea mahali fulani. Lakini kama vile tufani ilivyovunja meli iliyokuwa imemchukua Paulo kama mfungwa kwenda Roma kwa Kaisari lakini yeye na wengine wote walifika sehemu waliyokuwa wanaenda, yaani Roma, ndivyo ambavyo Mungu atakufikisha mahali unapaswa kufika hata kama dhoruba na tufani zitavuma. Usiogope.