
Sign up to save your podcasts
Or


TCRA huidhinisha vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki kwa mujibu wa Sheria Kifungu Na. 83 (1) na (2) cha Sheria ya Mawasiliano ya Kieletroniki na Posta ya Mwaka 2010. Uidhinishwaji huo ni utaratibu maalum wa kuhakikisha kwamba Vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki vinakidhi matakwa, mahitaji na viwango vya kitaifa na kimataifa kabla ya kuruhusu vifaa hivyo kuingia sokoni.
Ungana nasi kufahamu zaidi kuhusu utaratibu, umuhimu na mlengwa wa utaratibu huu wa kuidhinisha vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki.
Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]
#NiRahisiSana!
By Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)TCRA huidhinisha vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki kwa mujibu wa Sheria Kifungu Na. 83 (1) na (2) cha Sheria ya Mawasiliano ya Kieletroniki na Posta ya Mwaka 2010. Uidhinishwaji huo ni utaratibu maalum wa kuhakikisha kwamba Vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki vinakidhi matakwa, mahitaji na viwango vya kitaifa na kimataifa kabla ya kuruhusu vifaa hivyo kuingia sokoni.
Ungana nasi kufahamu zaidi kuhusu utaratibu, umuhimu na mlengwa wa utaratibu huu wa kuidhinisha vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki.
Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]
#NiRahisiSana!