Shetani analeta upinzani wa kila namna kwa watu waliookoka na wanaotamani kubadilisha jamii kumuelekea Kristo. Huu ni wakati mbapo kila Mmoja aliyeokoka anatakiwa kutumika bila kuangalia mambo yake binafsi Bali ya wengine wengi wanaoteswa na Shetani.