TCRA Tanzania

Usimamizi wa Huduma za Posta Tanzania (Sehemu ya Kwanza)


Listen Later

TCRA inahakikisha uwapo wa huduma za posta zenye kuaminika, usalama, ufanisi na bei nafuu ndani ya Jamhuri ya Tanzania.

Ungana nasi katika kipindi hiki kufahamu utaratibu na kanuni za utoaji wa huduma katika sekta ndogo ya Posta nchini Tanzania.

Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]

#NiRahisiSana!

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TCRA TanzaniaBy Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)