TCRA Tanzania

Usimamizi wa Huduma za Posta Tanzania (Sehemu ya Pili)


Listen Later

Katika sehemu ya pili ya kipindi hiki cha huduma za posta, TCRA inatoa elimu kuhusu haki na wajibu wa mtoa huduma na mtumiaji wa huduma za posta nchini.  Kipindi hiki hujadili pia anuani makazi (post codes) zinatotumika kutambulisha maeneo mbalimbali nchini Tanzania pamoja na matumizi yake katika huduma za mawasiliano ya posta.

Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]

#NiRahisiSana!

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TCRA TanzaniaBy Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)