
Sign up to save your podcasts
Or


Wakati unapita kwenye changamoto mpaka unatamani kukata tamaa kabisa, au jambo gumu sana kiasi cha kuona kwamba hakuna lolote linaweza kufanyika tena. Kumbuka neno la Yesu Kristo, Usiogope, Amini tu. Simama thabiti katika imani yako. Kuwa shujaa usiogope.
By Pastor MsafiriWakati unapita kwenye changamoto mpaka unatamani kukata tamaa kabisa, au jambo gumu sana kiasi cha kuona kwamba hakuna lolote linaweza kufanyika tena. Kumbuka neno la Yesu Kristo, Usiogope, Amini tu. Simama thabiti katika imani yako. Kuwa shujaa usiogope.