
Sign up to save your podcasts
Or


Kuna wakati unapita katika masahibu kwa sababu ya adhabu ambayo Mungu amekupa kutokana na namna ulivyoteleza. Kama baba anavyomrudi mwanae ndivyo Mungu huwarudi wale awapendao. Upitapo katika nyakati kama hizi, usiogope. Hata kama Mungu ametumia mtu kama fimbo kukurudi bado usiogope fimbo hiyo maana upendo wa Mungu kwako bado ni mkubwa sana. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriKuna wakati unapita katika masahibu kwa sababu ya adhabu ambayo Mungu amekupa kutokana na namna ulivyoteleza. Kama baba anavyomrudi mwanae ndivyo Mungu huwarudi wale awapendao. Upitapo katika nyakati kama hizi, usiogope. Hata kama Mungu ametumia mtu kama fimbo kukurudi bado usiogope fimbo hiyo maana upendo wa Mungu kwako bado ni mkubwa sana. Biblia inasema usiogope.