Unapokuwa katikati ya watu wasioamini; au uko chini ya bosi asiyeamini, kumbuka kwamba watu hao wanapaswa kuona baraka za Mungu maishani mwao kwa kupitia wewe. Unapaswa kuwa baraka kwao. Usiogope kuwabariki.
Unapokuwa katikati ya watu wasioamini; au uko chini ya bosi asiyeamini, kumbuka kwamba watu hao wanapaswa kuona baraka za Mungu maishani mwao kwa kupitia wewe. Unapaswa kuwa baraka kwao. Usiogope kuwabariki.