
Sign up to save your podcasts
Or


Moja ya madhara makubwa sana ya woga ni kutuzuia tusiwekeze tukiogopa kuingia hasara au kutojua yatakayotokea. Hii ni mbaya sana kwa sababu fursa huwa zimefungwa na muda kwa hiyo wakati unasitasita muda unakwenda na fursa hupotea. Kwa hiyo usiogope kuwekeza, tumia fursa zilizopo. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriMoja ya madhara makubwa sana ya woga ni kutuzuia tusiwekeze tukiogopa kuingia hasara au kutojua yatakayotokea. Hii ni mbaya sana kwa sababu fursa huwa zimefungwa na muda kwa hiyo wakati unasitasita muda unakwenda na fursa hupotea. Kwa hiyo usiogope kuwekeza, tumia fursa zilizopo. Biblia inasema usiogope.