
Sign up to save your podcasts
Or


Unapopita katika kipindi kigumu sana usiwe na hofu, weka tumaini lako kwa Bwana. Mara nyingine yale tunayopitia huweza kutufanya hata tukasahau kuwa msaada wetu uko katika Bwana wa Majeshi, lakini kumbuka kwamba ukimkimbilia utakuwa salama na tena unabarikiwa. Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema.
By Pastor MsafiriUnapopita katika kipindi kigumu sana usiwe na hofu, weka tumaini lako kwa Bwana. Mara nyingine yale tunayopitia huweza kutufanya hata tukasahau kuwa msaada wetu uko katika Bwana wa Majeshi, lakini kumbuka kwamba ukimkimbilia utakuwa salama na tena unabarikiwa. Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema.