
Sign up to save your podcasts
Or


Mara nyingi ukifanya kitu fulani au biashara halafu kikaanguka au kutoa matokeo hasi unaweza kuingia woga na kutokirudia tena hata kama ndani yako unahisi kuna msukumo wa kufanya tena. Katika nyakati kama hizo usiogope, tenda tena lile ambalo Bwana amekwambia. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriMara nyingi ukifanya kitu fulani au biashara halafu kikaanguka au kutoa matokeo hasi unaweza kuingia woga na kutokirudia tena hata kama ndani yako unahisi kuna msukumo wa kufanya tena. Katika nyakati kama hizo usiogope, tenda tena lile ambalo Bwana amekwambia. Biblia inasema usiogope.