
Sign up to save your podcasts
Or


Kazi ya Mungu, ule wito ulio nao, ile kazi ambayo ndiyo hasa Mungu amekuweka hapa duniani uifanye lazima iamshe uadui na upinzani mkubwa dhidi yako. Lakini hakika ujue kwamba ugumu huu siyo dhidi yako tu lakini ni namna ambayo shetani anapingana na kusudi la Mungu hapa duniani na pia juu yako. Kwa hiyo hata katika ugumu huo unaopitia usikate tamaa na wala usikae legelege kwamba umeshindwa. Endelea kupambana, endelea kujitia nguvu katika Bwana, simama katika imani. Usiogope.
By Pastor MsafiriKazi ya Mungu, ule wito ulio nao, ile kazi ambayo ndiyo hasa Mungu amekuweka hapa duniani uifanye lazima iamshe uadui na upinzani mkubwa dhidi yako. Lakini hakika ujue kwamba ugumu huu siyo dhidi yako tu lakini ni namna ambayo shetani anapingana na kusudi la Mungu hapa duniani na pia juu yako. Kwa hiyo hata katika ugumu huo unaopitia usikate tamaa na wala usikae legelege kwamba umeshindwa. Endelea kupambana, endelea kujitia nguvu katika Bwana, simama katika imani. Usiogope.