
Sign up to save your podcasts
Or


Watu wengi na hata Wakristo wameshikwa na hofu kubwa ya uchawi au kulogwa. Yaani inafika mahali maamuzi ya mtu yanakuwa yanategemea sana suala la kulogwa, ingawa yeye ni Mkristo. Unaogopa kuishi mahali kwa sababu kuna wachawi, unaogopa kwenda mahali kwa sababu ya wachawi, wengine mpaka wanaogopa kulala usiku kwa sababu ya wachawi. Sikiliza somo hili upate kujifunza mambo ya msingi ya imani yetu ili ujue kwamba hupaswi kuogopa wachawi bali wao ndio wanapaswa wakuogope. Kama umeokoka unaye Mkuu ndani yako kuliko aliyeko ulimwenguni.
By Pastor MsafiriWatu wengi na hata Wakristo wameshikwa na hofu kubwa ya uchawi au kulogwa. Yaani inafika mahali maamuzi ya mtu yanakuwa yanategemea sana suala la kulogwa, ingawa yeye ni Mkristo. Unaogopa kuishi mahali kwa sababu kuna wachawi, unaogopa kwenda mahali kwa sababu ya wachawi, wengine mpaka wanaogopa kulala usiku kwa sababu ya wachawi. Sikiliza somo hili upate kujifunza mambo ya msingi ya imani yetu ili ujue kwamba hupaswi kuogopa wachawi bali wao ndio wanapaswa wakuogope. Kama umeokoka unaye Mkuu ndani yako kuliko aliyeko ulimwenguni.