
Sign up to save your podcasts
Or


Wachawi wote wanatumika chini ya baba yao shetani, yule nyoka wa zamani. Kwa hiyo wao ni kama baba yao yaani nyoka. Kama umeokoka, siyo tu kwamba Mungu anakulinda dhidi ya adui, bali Kristo amekupa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng'e na nguvu zote za adui. Huna haja ya kuogopa...
By Pastor MsafiriWachawi wote wanatumika chini ya baba yao shetani, yule nyoka wa zamani. Kwa hiyo wao ni kama baba yao yaani nyoka. Kama umeokoka, siyo tu kwamba Mungu anakulinda dhidi ya adui, bali Kristo amekupa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng'e na nguvu zote za adui. Huna haja ya kuogopa...