
Sign up to save your podcasts
Or


Zipo nyakati ambazo unakutana na changamoto kubwa sana au adui hodari sana kuliko wewe. Kwa kila kipimo cha kibinadamu nyakati kama hizi mtu hujiona mdogo sana na mnyonge mbele ya yale yanayokabiliana nawe. Unajiona mdudu tu usiyefaa kitu. Maandiko yanasema "usiogope Yakobo uliye mdudu..." kwa sababu Mungu wako yuko nawe kukupigania na kutetea. Kwa hiyo hata katika nyakati ngumu kama hizi bado simama katika imani yako katika Kristo Yesu ukijua ya kwamba Mungu wetu anaweza kukuokoa. Usiogope. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriZipo nyakati ambazo unakutana na changamoto kubwa sana au adui hodari sana kuliko wewe. Kwa kila kipimo cha kibinadamu nyakati kama hizi mtu hujiona mdogo sana na mnyonge mbele ya yale yanayokabiliana nawe. Unajiona mdudu tu usiyefaa kitu. Maandiko yanasema "usiogope Yakobo uliye mdudu..." kwa sababu Mungu wako yuko nawe kukupigania na kutetea. Kwa hiyo hata katika nyakati ngumu kama hizi bado simama katika imani yako katika Kristo Yesu ukijua ya kwamba Mungu wetu anaweza kukuokoa. Usiogope. Biblia inasema usiogope.