
Sign up to save your podcasts
Or


Katika maisha tunaweza kukutana na changamoto mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuvunjwa moyo hata na watu wa karibu yako. Katika yote hayo unatakiwa usivunjike moyo maana Mungu bado yuko upande wako kukupigania na kukushindia.
By Rev. Christine MlingiKatika maisha tunaweza kukutana na changamoto mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuvunjwa moyo hata na watu wa karibu yako. Katika yote hayo unatakiwa usivunjike moyo maana Mungu bado yuko upande wako kukupigania na kukushindia.