Discovering Africa Thru' Technology

‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu


Listen Later

Wakili Msomi Hilda Stuart Dadu ni Mratibu wa Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (Coalition for Women Human Rights Defenders Tanzania) na Katibu wa Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za

Binadamu Africa Mashariki.  

Mwanaharakati Mbobezi na Mtetezi wa Haki za Binadamu za Wanawake na Makundi Maalum anaelezea mafanikio

na changamoto katika kuwekeza katika haki za binadamu Tanzania.

Hilda anasistiza umuhimu wa kuwekeza katika sheria na mifumo bora inayoheshimu, linda na kutekeleza

sheria za kuwalinda wanawake watetezi wa haki za binadamu na makundi maalum Tanzania.
Kuimarisha utawala bora na usalama wa raia kuzuia uvunjwaji wa sheria, machafuko,
ukatili wa kijinsia na matabaka yatakayogharimu taifa gharama kubwa.

 

https://cwhrds.or.tz/

@cwhrdstz

https://web.facebook.com/cwhrdstz

https://www.instagram.com/cwhrdstz/

 

Follow us on

Twitter: @discoverAfrDATT

Instagram:@discoverAfrDATT

Facebook:discoverAfrDATT

LinkedIn:@discoverAfrDATT

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Discovering Africa Thru' TechnologyBy Raziah Mwawanga