Baadhi ya wasichana walio katika mahusiano wana mazoea ya kuomba hela, bundles na hata credit kutoka kwa wapenzi wao. Je, tabia hii inafaa? Vijana wanasema nini? Washauri Rachel Mahungu na Alex Munyere wanasema ni lazima kuwe na vipimo katika ombaomba mnapochumbiana.