Suala la fedha katika mahusiano ya kimapenzi, bila shaka limechangia kuvunjika kwa mahusiano mengi kutokana na ukosefu wa uwazi. Mada hii inalenga kuangazia namna ya kulijadili mnapochumbiana. Washauri wa masuala ya kijamii, Alex Munyere na Rachel Mahungu wanalichanganua katika podcast hii.