Vijana na Mapenzi

Vijana na Mapenzi Podcast: Ni lazima mpenzi wako akupe zawadi siku ya Valentines?


Listen Later

Ni msimu mwingine wa sherehe ya siku ya wapendanao tarehe 14 Februari. Siku hiyo hutumiwa na wapenzi wengi kuoneshana upendo. Baadhi hununuliana zawadi na hata kujitengea muda wa kufurahia mapenzi yao. Hata hivyo kwa wengine ni siku ya kawaida tu. Tunaangazia umuhimu wa siku hii na iwapo kuna ulazima wa kumpa zawadi umpendaye.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Vijana na MapenziBy The Standard Group PLC