Vijana na Mapenzi

VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Ni sawa kuchumbiana mitandaoni?


Listen Later

Mitandao ya kijamii ikiwamo Facebook, WhatsApp, Twitter, Instagram na kadhalika imerahisisha pakubwa njia za mawasiliano katika karne hii. Ni hali ambayo imechangia kubadilika kwa mbinu za watu kuchumbiana ambapo wengine hutumia mitandao kuwatafuta wachumba. Lakini je, hili linafaa? Tumehusisha kauli za wananchi kuhusu mapenzi ya mitandaoni vilevile kushiriki mazungumzo na vijana na washauri wa masuala ya kijamii kuihusu mada hii.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Vijana na MapenziBy The Standard Group PLC