Wahubiri wa Neno Pod

Wagalatia (3): Gal 2:11–21


Listen Later

Karibu sana kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Wagalatia. Tunafanya mfululizo kwa waraka mzima, na hiyo ni namba 3, katika kifungu Gal 2:11–21. Hapa Paulo anaonyesha kwamba watu wayahudi na watu wa mataifa wote wanahesabiwa haki kwa imani na sio kwa sheria.

Mafundisho hayo ni muhimu sana kwa kanisa la leo na tunakukaribisha kusikiliza na kuendelea kujifunza na kujadiliana nasi ili Injili ieleweke vizuri kama Biblia inavyofundisha.

Karibu.

Mwalimu Maiki. Mchungaji Mmasa.



This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wahubiri wa Neno PodBy Mwalimu Mike, Mchungaji Mmasa