Story za siku:
- Wizkid na Tems wameingia katika Top 10 ya Billboard
- Tyga kwenye kashfa ya kumpiga Ex-girlfriend wake
- Instagram inaweka sehemu ya kuonyesha taarifa za matatizo ya kiufundi
- iOS 15.0.2 imetoka kwa watumiaji wa iPhone
- Redmi inapanga kuwa na mfumo wake
- iPad Pro itakuwa na muundo mpya wa Landscape Mode