
Sign up to save your podcasts
Or


Wengi wetu hatujui kwamba woga ni dhambi. Tumekua tukifundishwa dhambi kutokana na amri kumi za Mungu na nyingine chache za ziada huku woga ukiachwa pembeni. Lakini kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti, woga umeendelea kumaliza ndoto zetu, malengo na biashara zetu pasipo kutuacha sisi wenyewe salama. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriWengi wetu hatujui kwamba woga ni dhambi. Tumekua tukifundishwa dhambi kutokana na amri kumi za Mungu na nyingine chache za ziada huku woga ukiachwa pembeni. Lakini kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti, woga umeendelea kumaliza ndoto zetu, malengo na biashara zetu pasipo kutuacha sisi wenyewe salama. Biblia inasema usiogope.