Neno la Leo

Yefta: Neema Katikati ya Kukataliwa


Listen Later

πŸŽ™οΈ Leo kwenye Neno la Leo

Leo tunatafakari simulizi ya Yefta kutoka Waamuzi 11. Ingawa alikataliwa na familia yake na kufukuzwa nyumbani, Mungu alimwinua na kumtumia kuwa mwokozi wa Israeli. Kupitia maisha yake tunajifunza kwamba Mungu haamui kusudi letu kwa kuzingatia historia yetu bali kwa mpango wake. Pia tunajifunza umuhimu wa kumtegemea Mungu kwa hekima na kuwa waangalifu katika maneno na maamuzi tunayoyafanya.

Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. πŸ™πŸ“–βœ¨

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Neno la LeoBy Neno la Leo 255