Mwl. Erick’s Podcast

3 Things to ignore


Listen Later

Kuna mambo matatu ambayo kila kiumbe kipya katika Kristo anatakiwa kuyapuuza ili kufanikiwa kabisa maishani.

Sikiliza mafundisho haya “Mambo Matatu ya Kupuuza” na maisha yako hayatabaki kama yalivyo.
Udhaifu utaondoka, hali ya kujiona duni itatoweka,
Na ujasiri na uhodari vitajaa ndani yako kama haujawahi kuona! ✨

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mwl. Erick’s PodcastBy Christ Embassy Kawe