Na jicho lako likikukosesha, ling'oe, ukalitupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa katika moto ya jehanamu. MATHAYO 18: 9
Mwongozo wa kisasa na mafundisho ni kwamba ubinafsi ni swala la kuzingatia. Hii yaleta Mgongano kati ya maoni ya kibiblia na yale ya kisasa. Mafundisho haya yanayo tilia mkazo utendaji wa kimwili ni uongo na hatari. Mwelekeo wake hauzingatii udhaifu wa uwanadamu. Msisitizo ambao Kristo anasema “Jicho lako likikukosesha. . . itupe kutoka kwako ... ni bora kwako. . . ”
Mtazamo wa kisasa hautofautishi kati ya ushawishi wa kibinafsi Unayo gandamiza nafsi, na potosha mwanadamu. Athari yake
Kulingana na Kristo, mwanadamu sio mashine, wala sio mnyama kuongozwa na kutawaliwa na utashi. Yeye ni mkubwa kuliko mwili, mkubwa kuliko mila, historia, na mengine yote. Kwa maana ndani ya mtu kuna kipengele kingine kinachoitwa roho.