
Sign up to save your podcasts
Or


๐๏ธ Bongo Bila Borders, Episode ya 8!
Leo tunazungumzia burudani ๐๐ถ๐ฌโtukiangalia tofauti na mfanano kati ya Tanzania ๐น๐ฟ na Marekani ๐บ๐ธ.
Kuanzia muziki wa Bongo Flava na Hip-Hop hadi matamasha kubwa na starehe za mitaani, tunauliza: nini kinatufanya tufanane na wapi tuna tofauti kubwa?
Karibu kwenye mazungumzo haya yenye ladha ya kipekee ya burudani bila mipaka!
#Bongobilaborders #bongo #swahili #swahilipodcast #burudani #entertainment #wasanii #muziki
By Sabai na Alexa๐๏ธ Bongo Bila Borders, Episode ya 8!
Leo tunazungumzia burudani ๐๐ถ๐ฌโtukiangalia tofauti na mfanano kati ya Tanzania ๐น๐ฟ na Marekani ๐บ๐ธ.
Kuanzia muziki wa Bongo Flava na Hip-Hop hadi matamasha kubwa na starehe za mitaani, tunauliza: nini kinatufanya tufanane na wapi tuna tofauti kubwa?
Karibu kwenye mazungumzo haya yenye ladha ya kipekee ya burudani bila mipaka!
#Bongobilaborders #bongo #swahili #swahilipodcast #burudani #entertainment #wasanii #muziki