Kama utakuwa mzima au mgonjwa ni uchaguzi wako! Kama utafanikiwa au utashindwa ni uchaguzi wako. Mungu ametukirimia kila tunachohitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi na utauwa, amani na haki, baraka na mafanikio, afya na siha njema. Tembea kwenye kweli hii leo.