Dakika 10 Za Kocha

#DZK007; Usikubali Kushindwa Na Yeyote


Listen Later

USIKUBALI KUSHINDWA NA YEYOTE.

Rafiki,
Ushindani ni sehemu ya safari yako ya mafanikio.

Lolote utakalofanya na kuleta matokeo mazuri, watu watakuiga.

Huwezi kuwashinda wengine kwa kushindana nao moja kwa moja.

Badala yake kuna mbinu bora kabisa za kuwashinda wengine bila kusumbuka sana.

Kwenye #BaruaYaKocha, nimekuonyesha mambo matano ya kukuwezesha kuwashinda wengine wote.

Yajue mambo hayo kwa kusoma hapa; https://learn.tanzaniteskills....

Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/dakika-10-za-kocha--1923276/support.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Dakika 10 Za KochaBy Kocha Dr Makirita Amani