KUBALI MAFANIKIO MAKUBWA YAKUUE.
Rafiki,
Kabla hujashtushwa na hilo,
Nikukumbushe tu kwamba, *utakufa*.
Na hutakufa tu hivi hivi, bali kuna kitu kitakachokuua.
Swali ni je unachagua nini kikuue?
Utakuwa tayari kukwepa kufanya kazi ngumu inayohitajika ili ufanikiwe,
Halafu ufe kwa ulevi au ajali za kizembe?
Unapoyakimbia mafanikio kwa sababu yana hatari,
Unakuwa umezikubali hatari nyingine na kuiacha ya mafanikio.
Kwenye #BaruaYaKocha nimekuonyesha jinsi unavyoweza kuchagua kwa usahihi kitakachokuu na hilo kukupa mafanikio makubwa sana.
Isome barua hiyo hapa; https://learn.tanzaniteskills....
Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/dakika-10-za-kocha--1923276/support.