MAFANIKIO NI KUJUA HUJUI.
Rafiki,
Unapoianza safari ya mafanikio, unakuwa hujui na hivyo unajifunza.
Unapoanza kupata mafanikio, unaanza kuona tayari unajua na hivyo hujifunzi tena.
Hapo ndipo unapokaribisha anguko la kimafanikio.
Ili kupata na kudumu kwenye mafanikio makubwa, unapaswa kujua kitu kimoja; *JUA KWAMBA HUJUI*
Kwa kujua hujui, unakuwa mnyenyekevu na kujifunza bila kukoma.
Kwenye #BaruaYaKocha nimekushirikisha mambo matano ya kukuweka kwenye kujifunza endelevu ili kujenga mafanikio makubwa.
Isome barua hiyo hapa; https://learn.tanzaniteskills....
Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/dakika-10-za-kocha--1923276/support.