Washkaji Podcast

EP 03: Afya ya Akili na Mahusiano with Dr. Maymuna Mohammed


Listen Later

Afya ya Akili imezungumziwa kwa kina, Faida na Umuhimu wa Wanaume kufunguka na kuzungumzia yanayowasibu kwa uwazi, namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa afya ya akili bila kusahau Afya ya akili kama funguo kuu kwenye mahusiano....unahitaji nini ili kuwa na Afya bora ya akili kwa Mahusiano yako kusonga.

Kupitia Podcast hii Daktari Kijana na Machachari Maymuna Mohammed ameeleza kwa kina

#AfyaYaAkili #Akili #Afya #MentalHealth #Relationships #Health #Wanaume

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Washkaji PodcastBy Mvumbagumo