Maisha yako hayapaswi kufanya na watu wengine Kwa sababu Mungu alikuumba Kwa namna ya pekee na akakuwekea kusudi tofauti, hivyo kuishi kama wengine wanavyoishi ni kujaribu kufanya vitu ambavyo haviendani na kusudi la kuumbwa kwako.
Maisha yako hayapaswi kufanya na watu wengine Kwa sababu Mungu alikuumba Kwa namna ya pekee na akakuwekea kusudi tofauti, hivyo kuishi kama wengine wanavyoishi ni kujaribu kufanya vitu ambavyo haviendani na kusudi la kuumbwa kwako.