Kisa Changu

Familia zatafuta wapendwa wao, Mombasa | Kisa Changu Podcast


Listen Later

Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa familia mbili kwenye eneo la Likoni katika Kaunti ya Mombasa zinaendelea kuhangaika kuwatafuta wapendwa wao ambao wanaaminika kuchukuliwa kwa nguvu na maafisa wa Idara ya Usalama.
Tumesema na familia ya Bakari Mwanyota mwenye umri wa miaka 38 wa Mtaa wa Consolata na familia ya Tunu Said mwenye umri wa miaka 55. Familia hizo mbili zinasema wapendwa wao walichukuliwa kwa nguvu mwezi Februari na Julai, 2021 na hadi sasa hawajui waliko.
Robert Menza amezungumza na familia za wawili hao katika makala haya ya Kisa Changu Podcast.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Kisa ChanguBy The Standard Group PLC