Nukta the Podcast

HATARI INAYOUKABILI MTO NGERENGERE


Listen Later

Hujambo msikilizaji wa Nukta the Podcast, karibu katika mfululizo wa episode zetu maalumu zinazoangazia Usimamizi wa rasilimali maji pamoja na mazingira katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. 

Katika sehemu hii ya tatu na ya mwisho tutamulika hatari inayoukabili Mto Ngerengere uliopo mkoani Morogoro kutokana na uchafuzi unaofanywa wa mto huo.


Pia tutachambua hatua zilizochukuliwa na zinazotakiwa kuchukuliwa ili kuunusuru mto huo unaopita Morogoro mjini.


...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Nukta the PodcastBy Nukta Habari