Pangani FM Podcasts

Historia ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.


Listen Later

Leo October 14 mwaka 2020 ni Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999 nchini Uingereza alipokuwa anapatiwa matibabu.

Mwanahabari wetu Rajabu Mustapha Mrope ameandaa Makala Fupi iliyobeba Historia ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Pangani FM PodcastsBy Pangani FM