Afya Talk

Huba 18+ E02: Tatizo la Uke Kuwa Mkavu


Listen Later

Karibu kwenye Afya Talk Season 03: Hii ni season ya kipekee inayobeba Jina la Huba 18+ ambapo tunazungumzia masuala ya ujana, Mahusiano nk. Leo nitazungumza kuhusu sababu zinazofanya uke Kuwa Mkavu, Nini Cha kufanya, nk. Sikiliza Sasa na Shirikisha wengine.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Afya TalkBy Dr. Rutasingwa, MD.