Mpendwa hakuna MTU mwenye nguvu au cheo anayeweza kukupinga au kukuzuia. Pia hakuna kiumbe chochote kile kinachoweza kukuzuia. Nguvu za giza zote kamwe haziwezi kukuzuia au kukupinga unapokuwa umeokoka na unamwamini MUNGU katika YESU KRISTO.
Mpendwa hakuna MTU mwenye nguvu au cheo anayeweza kukupinga au kukuzuia. Pia hakuna kiumbe chochote kile kinachoweza kukuzuia. Nguvu za giza zote kamwe haziwezi kukuzuia au kukupinga unapokuwa umeokoka na unamwamini MUNGU katika YESU KRISTO.