Wewe ni Roho, unayo nafsi na unaishi katika mwili!
Kama ambavyo unaulisha mwili wako, lisha na roho Yako pia.
Jaza kwa wingi neno la Mungu maishani Mwako.
Tafakari na ujufunze neno la Mungu kila Siku kupitia rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali.