ALBIUS Tribullus alifariki dunia kama miaka 19 hivi kabla ya kuzaliwa Nabii Issa (YesuKritso). Tribullus alikuwa Mlatini na mshairi maarufu aliyebobea katika fani ya uandishi wa maombolezi.
ALBIUS Tribullus alifariki dunia kama miaka 19 hivi kabla ya kuzaliwa Nabii Issa (YesuKritso). Tribullus alikuwa Mlatini na mshairi maarufu aliyebobea katika fani ya uandishi wa maombolezi.