SFCG KENYA

JAMII BILA BALAA SKIT EPISODE 5


Listen Later

Baada ya fujo Nyumbani kwake, Mama Nzomo anawajulisha wanawake wenzake kisimani kuwa mwanawe Nzomo amekimbilia katika kambi ya Wahuni. Mama Halima naye anaota ndoto ya ajabu. Je Mama Nzomo atapata usaidizi kutoka kwa wanawake wenzake? Na Je ni ndoto gani hii ya ajabu? 

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SFCG KENYABy SFCGKENYA