Eleven Digital The Podcast

Je, Unaijua Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015?


Listen Later

Katika episode hii, tumepima vile wananchi wana uelewa juu ya sheria ya makosa ya mtandao iliyotungwa na kupitishwa mwaka 2015. Chukua muda wako na sikiliza maoni na uelewa wa wananchi wa Tanzania juu ya sheria hii
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Eleven Digital The PodcastBy Leonce Godfrey