Eleven Digital The Podcast

Je, Usajili Wa Laini Za Simu Umepunguza Matukio Na Makosa Ya Kimtandao?


Listen Later

Katika kipindi cha karibuni, kumekuwa na kampeni za uhakiki wa laini na namba za simu ili kuthibiti uhalifu unaofanyika kwa kutumia namba hizo mtandaoni. Je, lengo limefikiwa? Na haya ni maoni ya wananchi kuhusu usajili wa laini za simu na namba zake.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Eleven Digital The PodcastBy Leonce Godfrey