Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno “Adhimisha na Azimisha.”

04.25.2024 - By United NationsPlay

Download our free app to listen on your phone

Download on the App StoreGet it on Google Play

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia tofauti ya maneno “Adhimisha na Azimisha.”

More episodes from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu