
Sign up to save your podcasts
Or


Katika Juma Jipya Edition hii ambayo ni kama episode maalum Stephen Kaaya amejaribu kuongelea mambo matano ambayo amejifunza hadi sasa katika mwaka 2020.Mambo hayo ni:-1. Siyo kuhusu unacho sema kuwa ni sahihi bali ni kuhusu unacho fanya. 2. Kasi yangu ni ile inayo niacha nikiwa na amani moyoni 3. Changamoto zinakuja kunionyesha upande mwingine wa jambo. 4. Kadiri unavyo lazimisha ndiyo kitavyo kuangusha zaidi. 5. Kupiga hatua na kuweka mipaka siyo jambo rahisi hasa ukiwa katika mazingira ya awali.
By kizazikipyapodcastKatika Juma Jipya Edition hii ambayo ni kama episode maalum Stephen Kaaya amejaribu kuongelea mambo matano ambayo amejifunza hadi sasa katika mwaka 2020.Mambo hayo ni:-1. Siyo kuhusu unacho sema kuwa ni sahihi bali ni kuhusu unacho fanya. 2. Kasi yangu ni ile inayo niacha nikiwa na amani moyoni 3. Changamoto zinakuja kunionyesha upande mwingine wa jambo. 4. Kadiri unavyo lazimisha ndiyo kitavyo kuangusha zaidi. 5. Kupiga hatua na kuweka mipaka siyo jambo rahisi hasa ukiwa katika mazingira ya awali.